Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 21:37 - Swahili Revised Union Version

Mwishowe akamtuma mwanawe kwao, akisema, Watamstahi mwanangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: ‘Watamjali mwanangu.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: ‘Watamjali mwanangu.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: ‘Watamjali mwanangu.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwisho wa yote, akamtuma mwanawe kwao, akisema, ‘Watamheshimu mwanangu.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwisho wa yote, akamtuma mwanawe kwao, akisema, ‘Watamheshimu mwanangu.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwishowe akamtuma mwanawe kwao, akisema, Watamstahi mwanangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 21:37
13 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Ni kazi gani iliyohitajika kutendeka ndani ya shamba langu la mizabibu nisiyoitenda? Basi, nilipotumaini ya kuwa litazaa zabibu, mbona lilizaa zabibumwitu?


Huenda nyumba ya Yuda watasikia mabaya yote niliyokusudia kuwatenda; wapate kurudi, kila mtu akaiache njia yake mbaya; nami nikawasamehe uovu wao na dhambi yao.


Nilisema, Hakika utaniogopa, utakubali kurudiwa; ili yasikatiliwe mbali makao yake, sawasawa ya yote niliyoagiza katika habari zake; lakini waliondoka mapema na kuyaharibu matendo yao yote.


Akawatuma tena watumwa wengine wengi kuliko wa kwanza wakawatenda vile vile.


Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana, wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi; haya na tumwue, tuutwae urithi wake.


na tazama, sauti kutoka mbinguni ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.


Basi alikuwa na mmoja bado, mwana mpendwa wake; huyu naye akamtuma kwao mwisho, akisema, Watamstahi mwanangu.


Basi, bwana wa shamba la mizabibu alisema, Nifanyeje? Nitamtuma mwanangu, mpendwa wangu; yamkini watamheshimu yeye.


Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.


Nami nimeona, tena nimeshuhudia ya kuwa huyu ni Mwana wa Mungu.


Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.