Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 21:36 - Swahili Revised Union Version

Akawatuma tena watumwa wengine wengi kuliko wa kwanza wakawatenda vile vile.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huyo mtu akawatuma tena watumishi wengine, wengi kuliko wa safari ya kwanza. Wale wakulima wakawatendea namna ileile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huyo mtu akawatuma tena watumishi wengine, wengi kuliko wa safari ya kwanza. Wale wakulima wakawatendea namna ileile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huyo mtu akawatuma tena watumishi wengine, wengi kuliko wa safari ya kwanza. Wale wakulima wakawatendea namna ileile.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha akawatuma watumishi wengine kwao, wengi kuliko wale wa kwanza, nao wale wapangaji wakawatendea vilevile.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha akawatuma kwao watumishi wengine, wengi kuliko wale wa kwanza, nao wale wapangaji wakawatendea vilevile.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawatuma tena watumwa wengine wengi kuliko wa kwanza wakawatenda vile vile.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 21:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, Yeremia alipokuwa amekwisha kusema maneno yote BWANA aliyomwamuru kuwaambia watu wote, ndipo hao makuhani, na manabii, na watu wote, wakamkamata, wakisema, Bila shaka utakufa.


Wale wakulima wakawakamata watumwa wake, huyu wakampiga, na huyu wakamwua, na huyu wakampiga kwa mawe.


Mwishowe akamtuma mwanawe kwao, akisema, Watamstahi mwanangu.


Akatuma tena watu kwa wengine, akisema, Waambieni wale walioalikwa, Tazameni, nimeandaa karamu yangu; ng'ombe zangu na vinono vimekwisha kuchinjwa, na vyote vimekuwa tayari, njoni arusini.