Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 20:9 - Swahili Revised Union Version

Na walipokuja wale wa saa kumi na moja, walipokea kila mtu dinari.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja fedha dinari moja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja fedha dinari moja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja fedha dinari moja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Wale vibarua walioajiriwa saa kumi na moja wakaja, na kila mmoja wao akapokea dinari moja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Wale vibarua walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakaja na kila mmoja wao akapokea dinari moja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na walipokuja wale wa saa kumi na moja, walipokea kila mtu dinari.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 20:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na wale wa kwanza walipokuja, walidhani kwamba watapokea zaidi; na hao pia wakapokea kila mtu dinari.


Naye alipokwisha kupatana na wafanya kazi kuwapa kutwa dinari, aliwapeleka katika shamba lake la mizabibu.


Kulipokuchwa, yule bwana wa shamba akamwambia msimamizi wake, Waite wafanya kazi, uwalipe ujira wao, ukianzia wa mwisho hadi wa kwanza.