Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 20:33 - Swahili Revised Union Version

Wakamwambia, Bwana, twataka macho yetu yafumbuliwe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakamjibu, “Bwana, tunaomba macho yetu yafumbuliwe.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakamjibu, “Bwana, tunaomba macho yetu yafumbuliwe.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakamjibu, “Bwana, tunaomba macho yetu yafumbuliwe.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamjibu, “Bwana, tunataka kuona.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamjibu, “Bwana, tunataka kuona.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamwambia, Bwana, twataka macho yetu yafumbuliwe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 20:33
4 Marejeleo ya Msalaba  

Unifumbue macho yangu niyatazame Maajabu yatokayo katika sheria yako.


Yesu akasimama, akawaita, akasema, Mnataka niwafanyie nini?


Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; mara wakapata kuona, wakamfuata.