Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 20:32 - Swahili Revised Union Version

32 Yesu akasimama, akawaita, akasema, Mnataka niwafanyie nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Yesu akasimama, akawaita na kuwauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Yesu akasimama, akawaita na kuwauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Yesu akasimama, akawaita na kuwauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Isa akasimama na kuwaita, akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Isa akasimama na kuwaita, akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Yesu akasimama, akawaita, akasema, Mnataka niwafanyie nini?

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:32
6 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana MUNGU asema hivi, Tena kwa ajili ya jambo hili nitaulizwa na nyumba ya Israeli, ili niwatendee; nami nitawaongeza kwa watu kama kundi la kondoo.


Akamwambia, Wataka nini? Akamwambia, Agiza kwamba hawa wanangu wawili waketi mmoja mkono wako wa kulia, na mmoja mkono wako wa kushoto, katika ufalme wako.


Mkutano wakawakaripia, wanyamaze. Lakini wao wakazidi kupaza sauti, wakisema, Uturehemu, Bwana, mwana wa Daudi!


Wakamwambia, Bwana, twataka macho yetu yafumbuliwe.


Kwa sababu hiyo nilikuja nilipoitwa, nisikatae; basi nawauliza, ni neno gani mliloniitia?


Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo