Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 20:27 - Swahili Revised Union Version

na mtu yeyote anayetaka kuwa wa kwanza kwenu na awe mtumwa wenu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi wenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi wenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi wenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye anayetaka kuwa wa kwanza miongoni mwenu hana budi kuwa mtumwa wenu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye anayetaka kuwa wa kwanza miongoni mwenu hana budi kuwa mtumwa wenu:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na mtu yeyote anayetaka kuwa wa kwanza kwenu na awe mtumwa wenu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 20:27
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, yeyote ajinyenyekezaye mwenyewe kama mtoto huyu, huyo ndiye aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni.


Lakini haitakuwa hivyo kwenu; bali mtu yeyote anayetaka kuwa mkubwa kwenu, na awe mtumishi wenu;


kama vile Mwana wa Adamu asivyokuja kutumikiwa, bali kutumika, na kutoa nafsi yake iwe fidia ya wengi.


lakini kwenu ninyi sivyo; bali aliye mkubwa kwenu na awe kama aliye mdogo; na mwenye kuongoza kama yule atumikaye.


Nawiwa na Wagiriki na wasio Wagiriki, nawiwa na wenye hekima na wasio na hekima.


Maana nadhani ya kuwa mimi sikupungukiwa na kitu walicho nacho mitume walio wakuu.


Nami nitakuwa radhi kutumia na kutumiwa kwa ajili yenu. Je! Kadiri nizidivyo kuwapenda sana, ninapungukiwa kupendwa?


Kwa maana hatujihubiri wenyewe, bali Kristo Yesu ya kuwa ni Bwana; na sisi wenyewe kuwa tu watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.