Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 20:27 - Swahili Revised Union Version

27 na mtu yeyote anayetaka kuwa wa kwanza kwenu na awe mtumwa wenu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi wenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi wenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi wenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 naye anayetaka kuwa wa kwanza miongoni mwenu hana budi kuwa mtumwa wenu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 naye anayetaka kuwa wa kwanza miongoni mwenu hana budi kuwa mtumwa wenu:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 na mtu yeyote anayetaka kuwa wa kwanza kwenu na awe mtumwa wenu;

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:27
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, yeyote ajinyenyekezaye mwenyewe kama mtoto huyu, huyo ndiye aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni.


Lakini haitakuwa hivyo kwenu; bali mtu yeyote anayetaka kuwa mkubwa kwenu, na awe mtumishi wenu;


kama vile Mwana wa Adamu asivyokuja kutumikiwa, bali kutumika, na kutoa nafsi yake iwe fidia ya wengi.


lakini kwenu ninyi sivyo; bali aliye mkubwa kwenu na awe kama aliye mdogo; na mwenye kuongoza kama yule atumikaye.


Nawiwa na Wagiriki na wasio Wagiriki, nawiwa na wenye hekima na wasio na hekima.


Maana nadhani ya kuwa mimi sikupungukiwa na kitu walicho nacho mitume walio wakuu.


Nami nitakuwa radhi kutumia na kutumiwa kwa ajili yenu. Je! Kadiri nizidivyo kuwapenda sana, ninapungukiwa kupendwa?


Kwa maana hatujihubiri wenyewe, bali Kristo Yesu ya kuwa ni Bwana; na sisi wenyewe kuwa tu watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo