Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 18:22 - Swahili Revised Union Version

Yesu akamwambia, Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akamjibu, “Sisemi mara saba tu, bali sabini mara saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akamjibu, “Sisemi mara saba tu, bali sabini mara saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akamjibu, “Sisemi mara saba tu, bali sabini mara saba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamjibu, “Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akamjibu, “Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akamwambia, Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 18:22
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kama Kaini akilipiwa kisasi mara saba, Hakika Lameki atalipiwa mara sabini na saba.


Mtu mbaya na aache njia yake, Na mtu asiye haki aache mawazo yake; Na amrudie BWANA, Naye atamrehemu; Na arejee kwa Mungu wetu, Naye atamsamehe kabisa.


Atarejea na kutuhurumia; atayakanyaga maovu yetu; nawe utazitupa dhambi zao zote katika vilindi vya bahari.


Kwa sababu hii ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme mmoja aliyetaka kufanya hesabu na watumwa wake.


Nanyi, kila msimamapo na kusali, sameheni, mkiwa na neno juu ya mtu; ili na Baba yenu aliye mbinguni awasamehe na ninyi makosa yenu. [


Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.


Muwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka;


Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matusi yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya;


mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi.


Basi, nataka wanaume waombe kila mahali, huku wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira wala majadiliano.