Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 17:8 - Swahili Revised Union Version

Wakainua macho yao, wasione mtu ila Yesu peke yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walipoangalia juu hawakumwona mtu, ila Yesu peke yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walipoangalia juu hawakumwona mtu, ila Yesu peke yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walipoangalia juu hawakumwona mtu, ila Yesu peke yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipoinua macho yao, hawakumwona mtu mwingine yeyote isipokuwa Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipoinua macho yao, hawakumwona mtu mwingine yeyote isipokuwa Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakainua macho yao, wasione mtu ila Yesu peke yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 17:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akaja, akawagusa, akasema, Inukeni, wala msiogope.


Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu aliwaagiza, akasema, Msimwambie mtu yeyote habari ya maono hayo, hadi Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu.


Mara hiyo walipotazama huku na huku, hawakuona mtu pamoja nao ila Yesu peke yake.


Na sauti hiyo ilipokwisha, Yesu alionekana yu peke yake. Nao wakanyamaza, wasitangaze kwa mtu siku zile lolote katika hayo waliyoyaona.