Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 16:22 - Swahili Revised Union Version

Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akisema, La hasha! Bwana, hayo hayatakupata.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea: “Isiwe hivyo Bwana! Jambo hili halitakupata!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea: “Isiwe hivyo Bwana! Jambo hili halitakupata!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea: “Isiwe hivyo Bwana! Jambo hili halitakupata!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea, akisema, “Haiwezekani, Bwana! Jambo hili kamwe halitakupata!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea akisema, “Haiwezekani, Bwana! Jambo hili kamwe halitakupata!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akisema, La hasha! Bwana, hayo hayatakupata.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 16:22
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na yule mjumbe, aliyekwenda kumwita Mikaya, akamwambia, akasema, Angalia sasa, maneno ya manabii kwa kinywa kimoja husema mema kwa mfalme; neno lako na liwe, nakusihi, kama neno la mmojawapo wao, ukaseme mema.


Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.


Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.


Naye alikuwa akinena neno hilo waziwazi. Petro akamchukua, akaanza kumkemea.