Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:58 - Swahili Revised Union Version

Wala hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu ya kutoamini kwao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu ya kutoamini kwao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:58
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakachukizwa naye. Yesu akawaambia, Nabii hakosi kupata heshima, isipokuwa katika nchi yake, na nyumbani mwake mwenyewe.


Wakati ule mfalme Herode alisikia habari za Yesu, akawaambia watumishi wake,


Vema. Yalikatwa kwa kutoamini kwao, na wewe wasimama kwa imani yako. Usijivune, bali uogope.