Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:4 - Swahili Revised Union Version

Na alipokuwa akipanda, mbegu nyingine zilianguka karibu na njia, ndege wakaja wakazila;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alipokuwa akipanda mbegu, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alipokuwa akipanda mbegu, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alipokuwa akipanda mbegu, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia, nao ndege wakaja na kuzila.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia, nao ndege wakaja na kuzila.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na alipokuwa akipanda, mbegu nyingine zilianguka karibu na njia, ndege wakaja wakazila;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


nyingine zikaanguka penye miamba, pasipokuwa na udongo mwingi; zikaota haraka, kwa kukosa udongo wenye kina;


ikawa alipokuwa akipanda, mbegu nyingine ilianguka kando ya njia, wakaja ndege wakaila.


Ikawa alipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya njia, akiomba sadaka;


Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake; naye alipokuwa akizipanda, nyingine zilianguka karibu na njia, zikakanyagwa, ndege wa angani wakazila.