Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:29 - Swahili Revised Union Version

Akasema, La; msije mkakusanya magugu, na kuzing'oa ngano pamoja nayo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye akawajibu, ‘La, msije labda mnapokusanya magugu, mkangoa na ngano pia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye akawajibu, ‘La, msije labda mnapokusanya magugu, mkangoa na ngano pia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye akawajibu, ‘La, msije labda mnapokusanya magugu, mkang'oa na ngano pia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Lakini akasema, ‘Hapana, msiyang’oe, kwa maana wakati mking’oa magugu mnaweza mkang’oa na ngano pamoja nayo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Lakini akasema, ‘Hapana, msiyang’oe, kwa maana wakati mking’oa magugu mnaweza mkang’oa na ngano pamoja nayo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, La; msije mkakusanya magugu, na kuzing'oa ngano pamoja nayo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:29
3 Marejeleo ya Msalaba  

lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.


Akawaambia, Adui ndiye aliyetenda hivi. Watumwa wakamwambia, Basi, wataka twende tukayakusanye?


Viacheni vyote vikue hadi wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, Yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyeni mkaiweke ghalani mwangu.