Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:18 - Swahili Revised Union Version

Basi ninyi sikilizeni mfano wa mpanzi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Basi, nyinyi sikilizeni maana ya mfano huo wa mpanzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Basi, nyinyi sikilizeni maana ya mfano huo wa mpanzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Basi, nyinyi sikilizeni maana ya mfano huo wa mpanzi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Sikilizeni basi maana ya ule mfano wa mpanzi:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Sikilizeni basi maana ya ule mfano wa mpanzi:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi ninyi sikilizeni mfano wa mpanzi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Yesu akawaaga makutano, akaingia katika nyumba; wanafunzi wake wakamwendea, wakasema, Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.


Naye alipokuwa peke yake, wale watu waliomzunguka, na wale Kumi na Wawili, walimwuliza kuhusu ile mifano.