Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:16 - Swahili Revised Union Version

Lakini, heri macho yenu, kwa kuwa yanaona; na masikio yenu, kwa kuwa yanasikia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Lakini heri yenu nyinyi, maana macho yenu yanaona na masikio yenu yanasikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Lakini heri yenu nyinyi, maana macho yenu yanaona na masikio yenu yanasikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Lakini heri yenu nyinyi, maana macho yenu yanaona na masikio yenu yanasikia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini heri macho yenu kwa sababu yanaona, na heri masikio yenu kwa sababu yanasikia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini heri macho yenu kwa sababu yanaona, na heri masikio yenu kwa sababu yanasikia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini, heri macho yenu, kwa kuwa yanaona; na masikio yenu, kwa kuwa yanasikia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Baryona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni.


Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.


uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.


Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang'aa toka gizani, ndiye aliyeng'aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.