Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:10 - Swahili Revised Union Version

Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanafunzi wake wakamwendea, wakamuuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanafunzi wake wakamwendea, wakamuuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:10
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa.


Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


Mwenye masikio na asikie.


Naye alipokuwa peke yake, wale watu waliomzunguka, na wale Kumi na Wawili, walimwuliza kuhusu ile mifano.


Wanafunzi wake wakamwuliza, Maana yake nini mfano huo?