Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:1 - Swahili Revised Union Version

Siku ile Yesu akatoka nyumbani, akaketi kando ya bahari.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku hiyohiyo, Yesu alitoka katika ile nyumba, akaenda na kuketi kando ya ziwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku hiyohiyo, Yesu alitoka katika ile nyumba, akaenda na kuketi kando ya ziwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku hiyohiyo, Yesu alitoka katika ile nyumba, akaenda na kuketi kando ya ziwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku hiyo hiyo Isa akatoka nje ya nyumba, akaketi kando ya bahari.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku iyo hiyo Isa akatoka nje ya nyumba, akaketi kando ya bahari.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku ile Yesu akatoka nyumbani, akaketi kando ya bahari.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana yeyote atakayeyafanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyu ndiye kaka yangu, na dada yangu na mama yangu.


Kisha Yesu akawaaga makutano, akaingia katika nyumba; wanafunzi wake wakamwendea, wakasema, Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.


Naye alipofika nyumbani, wale vipofu walimwendea; Yesu akawaambia, Mnaamini kwamba naweza kufanya hili? Wakamwambia, Naam, Bwana.


Akatoka tena, akaenda kando ya bahari, mkutano wote ukamwendea, akawafundisha.