Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 12:8 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 12:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Naye mtu yeyote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao.


Kwani kama vile Yona alivyokuwa siku tatu mchana na usiku katika tumbo la nyangumi, hivyo ndivyo Mwana wa Adamu atakavyokuwa siku tatu mchana na usiku katika moyo wa nchi.


Yesu akamwambia, Mbweha wana pango, na ndege wa angani wana viota; lakini Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake.


Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (amwambia yule mwenye kupooza) Inuka, ujitwike kitanda chako, uende nyumbani kwako.


Basi Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato pia.


Akawaambia, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.


Siku ya kwanza ya juma kila mmoja wenu na aweke akiba kwake, kwa kadiri ya kufanikiwa kwake; ili kwamba michango isifanyike hapo nitakapokuja;


Kwa wale wasio na sheria nilikuwa kama sina sheria, (si kwamba sina sheria mbele za Mungu, bali mwenye sheria mbele za Kristo), ili niwapate hao wasio na sheria.


Nilikuwa katika Roho, siku ya Bwana; nikasikia sauti kuu nyuma yangu, kama sauti ya baragumu,