Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 2:28 - Swahili Revised Union Version

28 Basi Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato pia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Kwa hiyo, Mwana wa Mtu ana uwezo hata juu ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Kwa hiyo, Mwana wa Mtu ana uwezo hata juu ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Kwa hiyo, Mwana wa Mtu ana uwezo hata juu ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Hivyo, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Hivyo, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Basi Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato pia.

Tazama sura Nakili




Marko 2:28
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.


Akawaambia, Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato.


Akaingia tena katika sinagogi; na palikuwako huko mtu mwenye mkono uliopooza;


Akawauliza, Ni halali siku ya sabato kutenda mema, au kutenda mabaya? Kuponya roho au kuiua? Wakanyamaza.


Akawaambia, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.


Akawajibu, Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi.


Nayo ilikuwa sabato, hapo Yesu alipofanya zile tope na kumfumbua macho.


Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa na utengano kati yao.


akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya kanisa; ambalo


Nilikuwa katika Roho, siku ya Bwana; nikasikia sauti kuu nyuma yangu, kama sauti ya baragumu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo