Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 12:19 - Swahili Revised Union Version

Hatateta wala hatapaza sauti yake; Wala mtu hatasikia sauti yake njiani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hatagombana wala kupaza sauti, wala hakuna atakayesikia sauti yake njiani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hatagombana wala hatapiga kelele, wala hakuna atakayesikia sauti yake njiani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hatateta wala hatapaza sauti yake; Wala mtu hatasikia sauti yake njiani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 12:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hatalia, wala hatapaza sauti yake, wala kuifanya isikiwe katika njia kuu.


Furahi sana, Ee binti Sayuni; Piga kelele, Ee binti Yerusalemu; Tazama, mfalme wako anakuja kwako; Ni mwenye haki, naye ana wokovu; Ni mnyenyekevu, amepanda punda, Naam, mwanapunda, mtoto wa punda.


Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;


Mwanzi uliopondeka hatauvunja, Wala utambi utokao moshi hatauzima, Hadi ailetapo hukumu ikashinda.


Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuchunguza;


Basi, mimi Paulo mwenyewe nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo; mimi niliye mnyenyekevu nikiwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo ni mwenye ujasiri kwenu;