Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 12:19 - Swahili Revised Union Version

19 Hatateta wala hatapaza sauti yake; Wala mtu hatasikia sauti yake njiani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Hatagombana wala kupaza sauti, wala hakuna atakayesikia sauti yake njiani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Hatagombana wala hatapiga kelele, wala hakuna atakayesikia sauti yake njiani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Hatateta wala hatapaza sauti yake; Wala mtu hatasikia sauti yake njiani.

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hatalia, wala hatapaza sauti yake, wala kuifanya isikiwe katika njia kuu.


Furahi sana, Ee binti Sayuni; Piga kelele, Ee binti Yerusalemu; Tazama, mfalme wako anakuja kwako; Ni mwenye haki, naye ana wokovu; Ni mnyenyekevu, amepanda punda, Naam, mwanapunda, mtoto wa punda.


Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;


Mwanzi uliopondeka hatauvunja, Wala utambi utokao moshi hatauzima, Hadi ailetapo hukumu ikashinda.


Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuchunguza;


Basi, mimi Paulo mwenyewe nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo; mimi niliye mnyenyekevu nikiwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo ni mwenye ujasiri kwenu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo