Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 11:4 - Swahili Revised Union Version

Yesu akajibu akawaambia, Nendeni mkamweleze Yohana mnayoyasikia na kuyaona;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akajibu, “Rudini mkamwambie Yahya yale mnayosikia na kuyaona:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akajibu, “Rudini mkamwambie Yahya yale mnayosikia na kuyaona:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akajibu akawaambia, Nendeni mkamweleze Yohana mnayoyasikia na kuyaona;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 11:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe ndiwe yule ajaye, au tumngojee mwingine?


vipofu wanapata kuona, viwete wanakwenda, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa Habari Njema.


Wakamwendea makutano mengi wakimletea viwete, vipofu, mabubu, vilema, na wengine wengi, wakawaweka miguuni pake; akawaponya;


Na vipofu na viwete wakamwendea mle hekaluni, akawaponya.


Yesu akanyosha mkono, akamgusa, akisema Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukatakasika.


Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.


Lakini ushuhuda nilio nao mimi ni mkuu kuliko ule wa Yohana; kwa kuwa zile kazi alizonipa Baba ili nizimalize, kazi hizo zenyewe ninazozitenda, zanishuhudia ya kwamba Baba amenituma.