Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 11:4 - Swahili Revised Union Version

4 Yesu akajibu akawaambia, Nendeni mkamweleze Yohana mnayoyasikia na kuyaona;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Isa akajibu, “Rudini mkamwambie Yahya yale mnayosikia na kuyaona:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Isa akajibu, “Rudini mkamwambie Yahya yale mnayosikia na kuyaona:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Yesu akajibu akawaambia, Nendeni mkamweleze Yohana mnayoyasikia na kuyaona;

Tazama sura Nakili




Mathayo 11:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe ndiwe yule ajaye, au tumngojee mwingine?


vipofu wanapata kuona, viwete wanakwenda, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa Habari Njema.


Wakamwendea makutano mengi wakimletea viwete, vipofu, mabubu, vilema, na wengine wengi, wakawaweka miguuni pake; akawaponya;


Na vipofu na viwete wakamwendea mle hekaluni, akawaponya.


Yesu akanyosha mkono, akamgusa, akisema Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukatakasika.


Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.


Lakini ushuhuda nilio nao mimi ni mkuu kuliko ule wa Yohana; kwa kuwa zile kazi alizonipa Baba ili nizimalize, kazi hizo zenyewe ninazozitenda, zanishuhudia ya kwamba Baba amenituma.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo