Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 10:24 - Swahili Revised Union Version

Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumwa hampiti bwana wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumishi hampiti bwana wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumishi hampiti bwana wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumishi hampiti bwana wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake, wala mtumishi hamzidi bwana wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake, wala mtumishi hamzidi bwana wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwanafunzi hampiti mwalimu wake, wala mtumwa hampiti bwana wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 10:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Uria akamwambia Daudi, Sanduku, na Israeli, na Yuda, wanakaa vibandani; na bwana wangu Yoabu, na watumishi wa bwana wangu, wamepiga kambi waziwazi uwandani; nami niende nyumbani kwangu, kula na kunywa, na kulala na mke wangu? Uishivyo, na kama roho yako iishivyo, mimi sitafanya jambo hili.


Yamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli, je! Si zaidi wale walio wa nyumbani mwake?


Mwanafunzi hawi mkuu kuliko mwalimu wake, lakini kila mtu ambaye amehitimu hulingana na mwalimu wake.


Amin, amin, nawaambia ninyi, Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake; wala mtume si mkuu kuliko yeye aliyemtuma.


Likumbukeni lile neno nililowaambia, Mtumwa si mkubwa kuliko bwana wake. Ikiwa waliniudhi mimi, watawaudhi ninyi; ikiwa walilishika neno langu watalishika na lenu.