Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 10:12 - Swahili Revised Union Version

Nanyi mkiingia katika nyumba isalimuni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mnapoingia nyumbani wasalimuni wenyeji wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mnapoingia nyumbani wasalimuni wenyeji wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mnapoingia nyumbani wasalimuni wenyeji wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mkiingia kwenye nyumba, itakieni amani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mkiingia kwenye nyumba, itakieni amani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nanyi mkiingia katika nyumba isalimuni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 10:12
10 Marejeleo ya Msalaba  

Amani na ikae ndani ya kuta zako, Na kufanikiwa ndani ya majumba yako.


Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu Niseme sasa, Amani ikae nawe.


Nao, iwe watasikia au hawataki kusikia, (maana ndio nyumba ya kuasi hao), hata hivyo watajua ya kuwa nabii amekuwako miongoni mwao.


Na mji wowote au kijiji chochote mtakachoingia, tafuteni ni nani humo aliye mtu mwaminifu; mkae kwake hadi mtakapotoka.


Na nyumba ile ikistahili, amani yenu na iifikie; la, kwamba haistahili, amani yenu na iwarudie ninyi.


Neno lile alilowapelekea wana wa Israeli akihubiri Habari Njema ya amani kwa Yesu Kristo (ndiye Bwana wa wote),


Basi tu wajumbe kwa ajili ya Kristo, kana kwamba Mungu anasihi kwa vinywa vyetu; twawaomba ninyi kwa ajili ya Kristo mpatanishwe na Mungu.


Lakini natarajia kukuona karibuni, nasi tutasema uso kwa uso.


na hivi ndivyo mtakavyomwambia huyu aishiye salama, Amani na iwe kwako, na amani nyumbani mwako, na amani kwao wote ulio nao.