Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 7:1 - Swahili Revised Union Version

Kuhani Mkuu akasema, Je! Mambo hayo ndivyo yalivyo?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo kuhani mkuu akamuuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo kuhani mkuu akamuuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kuhani Mkuu akasema, Je! Mambo hayo ndivyo yalivyo?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 7:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wote walioketi katika ile baraza wakamkazia macho yao, wakamwona uso wake kuwa kama uso wa malaika.


Naye akasema, Ndugu zangu na baba zangu, sikilizeni: Mungu wa utukufu alimtokea baba yetu Abrahamu, alipokuwa katika Mesopotamia, kabla hajakaa Harani,