Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 4:22 - Swahili Revised Union Version

maana umri wake yule mtu aliyefanyiwa ishara hii ya kuponya ulipita miaka arubaini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huyo mtu aliyeponywa alikuwa na umri wa miaka zaidi ya arubaini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huyo mtu aliyeponywa alikuwa na umri wa miaka zaidi ya arubaini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huyo mtu aliyeponywa alikuwa na umri wa miaka zaidi ya arubaini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa umri wa yule mtu aliyekuwa ameponywa kwa muujiza ulikuwa zaidi ya miaka arobaini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa umri wa yule mtu aliyekuwa ameponywa kwa muujiza ulikuwa zaidi ya miaka arobaini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

maana umri wake yule mtu aliyefanyiwa ishara hii ya kuponya ulipita miaka arobaini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 4:22
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, mwanamke aliyekuwa na ugonjwa wa kutoka damu muda wa miaka kumi na miwili, alikuja kwa nyuma, akaugusa upindo wa vazi lake.


Na tazama, palikuwa na mwanamke aliyekuwa na pepo wa udhaifu muda wa miaka kumi na minane, naye amepindana, hawezi kujinyosha kabisa.


Na hapa palikuwa na mtu, ambaye amekuwa mgonjwa muda wa miaka thelathini na minane.


Na alipokuwa akipita alimwona mtu, kipofu tangu kuzaliwa.


Na mtu mmoja aliyekuwa kiwete toka tumboni mwa mamaye alichukuliwa na watu, ambaye walimweka kila siku katika mlango wa hekalu uitwao Mzuri, ili aombe sadaka kwa watu waingiao ndani ya hekalu.


Nao walipokwisha kuwatisha tena wakawafungua, wasione njia ya kuwaadhibu, kwa sababu ya watu; kwa kuwa watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa hayo yaliyotendeka;


Hata walipofunguliwa, wakaenda kwa watu wao, wakawapasha habari ya mambo yote waliyoambiwa na wakuu wa makuhani na wazee.


Akamwona mtu mmoja huko, jina lake Ainea, mtu huyo alikuwa amelala kitandani miaka minane; maana alikuwa amepooza.