Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 4:15 - Swahili Revised Union Version

Wakawaamuru kutoka katika baraza, wakashauriana wao kwa wao,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakawaamuru watoke nje ya Baraza la Wayahudi, ili wasemezane jambo hilo wao wenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakawaamuru watoke nje ya Baraza la Wayahudi wakati wakisemezana jambo hilo wao kwa wao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakawaamuru kutoka katika baraza, wakashauriana wao kwa wao,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 4:15
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mimi nawaambieni, Kila amkasirikiaye ndugu yake itampasa hukumu; na mtu akimtusi ndugu yake, anastahili kuhukumiwa na baraza; na mtu akimwambia nduguye, Ewe mpumbavu, anastahili kuingia katika moto wa Jehanamu.


Na wakimwona yule aliyeponywa akisimama pamoja nao hawakuwa na neno la kujibu.