Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 3:4 - Swahili Revised Union Version

Na Petro, akimkazia macho, pamoja na Yohana, akasema, Tutazame sisi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Petro na Yohane walimkodolea macho, naye Petro akamwambia, “Tutazame!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Petro na Yohane walimkodolea macho, naye Petro akamwambia, “Tutazame!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Petro na Yohane walimkodolea macho, naye Petro akamwambia, “Tutazame!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamkazia macho, kisha Petro akamwambia, “Tutazame sisi.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamkazia macho, kisha Petro akamwambia, “Tutazame sisi.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Petro, akimkazia macho, pamoja na Yohana, akasema, Tutazame sisi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 3:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akakifunga kitabu, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.


Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?


Yesu alipomwona huyu amelala, naye akijua ya kuwa amekuwa katika hali hiyo siku nyingi, alimwambia, Wataka kuwa mzima?


Akamkodolea macho, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.


Nikakitazama sana, nikifikiri, nikaona wanyama wa nchi wenye miguu minne, na wanyama wa mwituni, wale watambaao, na ndege wa angani.


Basi Petro na Yohana walikuwa wakikwea pamoja kwenda hekaluni, saa ya kusali, saa tisa.


Basi alipokuwa akiwashika Petro na Yohana, watu wote wakawakusanyikia mbio katika tao lile lililoitwa tao la Sulemani, wakishangaa sana.


Wakati Petro alipoyaona haya akawajibu wale watu, Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kana kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi, au kwa utauwa wetu sisi?


Mtu huyu akiwaona Petro na Yohana wakiingia hekaluni aliomba apewe sadaka.


Akawaangalia, akitaraji kupata kitu kwao.