Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 3:4 - Swahili Revised Union Version

4 Na Petro, akimkazia macho, pamoja na Yohana, akasema, Tutazame sisi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Petro na Yohane walimkodolea macho, naye Petro akamwambia, “Tutazame!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Petro na Yohane walimkodolea macho, naye Petro akamwambia, “Tutazame!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Petro na Yohane walimkodolea macho, naye Petro akamwambia, “Tutazame!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Wakamkazia macho, kisha Petro akamwambia, “Tutazame sisi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Wakamkazia macho, kisha Petro akamwambia, “Tutazame sisi.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Na Petro, akimkazia macho, pamoja na Yohana, akasema, Tutazame sisi.

Tazama sura Nakili




Matendo 3:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akakifunga kitabu, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.


Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?


Yesu alipomwona huyu amelala, naye akijua ya kuwa amekuwa katika hali hiyo siku nyingi, alimwambia, Wataka kuwa mzima?


Akamkodolea macho, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.


Nikakitazama sana, nikifikiri, nikaona wanyama wa nchi wenye miguu minne, na wanyama wa mwituni, wale watambaao, na ndege wa angani.


Basi Petro na Yohana walikuwa wakikwea pamoja kwenda hekaluni, saa ya kusali, saa tisa.


Basi alipokuwa akiwashika Petro na Yohana, watu wote wakawakusanyikia mbio katika tao lile lililoitwa tao la Sulemani, wakishangaa sana.


Wakati Petro alipoyaona haya akawajibu wale watu, Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kana kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi, au kwa utauwa wetu sisi?


Mtu huyu akiwaona Petro na Yohana wakiingia hekaluni aliomba apewe sadaka.


Akawaangalia, akitaraji kupata kitu kwao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo