Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 21:6 - Swahili Revised Union Version

na baada ya kuagana tukapanda melini, nao wakarudi kwao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha tuliagana; sisi tukapanda meli, nao wakarudi makwao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha tuliagana; sisi tukapanda meli, nao wakarudi makwao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha tuliagana; sisi tukapanda meli, nao wakarudi makwao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya kuagana, tukapanda kwenye meli, nao wakarudi manyumbani mwao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya kuagana, tukapanda melini, nao wakarudi majumbani mwao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na baada ya kuagana tukapanda melini, nao wakarudi kwao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 21:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa bado mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu.


Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.


Tazama, saa inakuja, naam, imekwisha kuja, ambapo mtatawanyika kila mmoja kwao kwao, na kuniacha mimi peke yangu; lakini mimi siko peke yangu, kwa kuwa Baba yupo pamoja nami.


Kisha akamwambia yule mwanafunzi, Tazama, mama yako. Na tangu saa ile mwanafunzi yule akamchukua nyumbani kwake.


sikuona raha nafsini mwangu, kwa sababu sikumwona Tito ndugu yangu, bali niliagana nao, nikaondoka kwenda Makedonia.