Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 1:11 - Swahili Revised Union Version

11 Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Alikuja kwa walio wake, lakini wao hawakumpokea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Alikuja kwa walio wake, lakini wao hawakumpokea.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.

Tazama sura Nakili




Yohana 1:11
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


Lakini watu wa mji wake walimchukia, wakatuma wajumbe kumfuata na kusema, Hatumtaki huyu atutawale.


Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukumtambua.


Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;


Kisha akamwambia yule mwanafunzi, Tazama, mama yako. Na tangu saa ile mwanafunzi yule akamchukua nyumbani kwake.


Yale aliyoyaona na kuyasikia ndiyo anayoyashuhudia, wala hakuna anayeukubali ushuhuda wake.


Ndugu zangu, wana wa ukoo wa Abrahamu, na hao miongoni mwenu wanaomcha Mungu, kwetu sisi neno la wokovu huu limepelekwa.


Paulo na Barnaba wakanena kwa ushujaa wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu linenwe kwenu kwanza; lakini kwa kuwa mnalisukumia mbali, na kujiona ninyi wenyewe kuwa hamkustahili uzima wa milele, angalieni, twawageukia Mataifa.


na baada ya kuagana tukapanda melini, nao wakarudi kwao.


Kwa maana nasema, ya kwamba Kristo amefanyika mhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu, kusudi azithibitishe ahadi walizopewa baba zetu;


Nasema kweli katika Kristo, sisemi uongo, dhamiri yangu ikinishuhudia katika Roho Mtakatifu,


ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa milele. Amina.


Lakini ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo