Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 20:8 - Swahili Revised Union Version

Palikuwa na taa nyingi katika ghorofa lile tulipokuwa tumekusanyika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwenye chumba cha ghorofani walimokuwa wamekutania kulikuwa na taa nyingi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwenye chumba cha ghorofani walimokuwa wamekutania kulikuwa na taa nyingi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Palikuwa na taa nyingi katika ghorofa lile tulipokuwa tumekusanyika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 20:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi.


Naye atawaonesha chumba kikubwa ghorofani, kimekwisha tayarishwa; andaeni humo.


Wakati walipoingia, wakapanda ghorofani, walipokuwa wakikaa; Petro, na Yohana, na Yakobo, na Andrea, Filipo na Tomaso, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo wa Alfayo, na Simoni Zelote, na Yuda wa Yakobo.


Kijana mmoja, jina lake Eutiko, alikuwa ameketi dirishani, akalemewa na usingizi sana; hata Paulo alipoendelea sana kuhubiri, akazidiwa na usingizi wake akaanguka toka ghorofa ya tatu; akainuliwa amekwisha kufa.