Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 2:21 - Swahili Revised Union Version

Na itakuwa kila atakayeliitia jina la Bwana ataokolewa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo, yeyote atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo, yeyote atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo, yeyote atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Na kila mtu atakayeliitia jina la Mwenyezi Mungu, ataokolewa.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Na kila mtu atakayeliitia jina la Bwana Mwenyezi Mungu, ataokolewa.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na itakuwa kila atakayeliitia jina la Bwana ataokolewa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 2:21
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Wewe, Bwana, U mwema, Umekuwa tayari kusamehe, Na mwingi wa fadhili, Kwa watu wote wakuitao.


Na itakuwa ya kwamba mtu awaye yote atakayeliita jina la BWANA ataponywa; kwa kuwa katika mlima Sayuni na katika Yerusalemu watakuwako watu watakaookoka, kama BWANA alivyosema; na katika mabaki, hao awaitao BWANA.


Basi, nendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;


Jua litageuka kuwa giza, na mwezi kuwa damu, kabla ya kuja ile siku ya Bwana iliyo kuu na iliyo dhahiri.


Basi sasa, mbona unakawia? Simama, ubatizwe, ukaoshwe dhambi zako, ukiliitia jina lake.


Bwana akamwambia, Simama, nenda zako katika njia iitwayo Nyofu, ukaulize katika nyumba ya Yuda mtu aitwaye Sauli, wa Tarso; maana, angalia, anaomba;


Lakini Bwana akamwambia, Nenda tu; kwa maana huyu ni chombo kiteule kwangu, alichukue Jina langu mbele ya Mataifa, na wafalme, na wana wa Israeli.


kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, wale waliotakaswa katika Kristo Yesu, walioitwa wawe watakatifu, pamoja na wote wanaoliitia jina la Bwana wetu Yesu Kristo kila mahali, Bwana wao na wetu.


Basi na tukikaribie kiti cha neema kwa ujasiri, ili tupewe rehema, na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.