Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 9:8 - Swahili Revised Union Version

Mara hiyo walipotazama huku na huku, hawakuona mtu pamoja nao ila Yesu peke yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mara wanafunzi hao wakatazama tena, lakini hawakumwona mtu mwingine, ila Yesu peke yake pamoja nao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mara wanafunzi hao wakatazama tena, lakini hawakumwona mtu mwingine, ila Yesu peke yake pamoja nao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mara wanafunzi hao wakatazama tena, lakini hawakumwona mtu mwingine, ila Yesu peke yake pamoja nao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mara walipotazama huku na huku, hawakuona tena mtu mwingine yeyote pamoja nao isipokuwa Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mara walipotazama huku na huku, hawakuona tena mtu mwingine yeyote pamoja nao isipokuwa Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mara hiyo walipotazama huku na huku, hawakuona mtu pamoja nao ila Yesu peke yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 9:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha likatokea wingu, likawatia uvuli; sauti ikatoka katika lile wingu, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, msikieni yeye.


Na walipokuwa wakishuka mlimani aliwakataza wasimweleze mtu waliyoyaona, hadi Mwana wa Adamu atakapokuwa amefufuka katika wafu.


Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao.


Na sauti hiyo ilipokwisha, Yesu alionekana yu peke yake. Nao wakanyamaza, wasitangaze kwa mtu siku zile lolote katika hayo waliyoyaona.


Jambo hili likatendeka mara tatu; kisha kile chombo kikapokewa tena mbinguni.