Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 9:6 - Swahili Revised Union Version

Maana, hakujua la kunena, kwa kuwa waliingiwa na hofu nyingi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Petro hakujua aseme nini kwa maana yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Petro hakujua aseme nini kwa maana yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana, hakujua la kunena, kwa kuwa waliingiwa na hofu nyingi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 9:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Petro akajibu, akamwambia Yesu, Rabi, ni vizuri sisi kuwapo hapa; na tufanye vibanda vitatu, kimoja chako wewe, kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya.


Kisha likatokea wingu, likawatia uvuli; sauti ikatoka katika lile wingu, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, msikieni yeye.


Ikawa hao walipokuwa wakijitenga naye, Petro alimwambia Yesu, Bwana mkubwa, ni vizuri sisi kuwapo hapa; na tufanye vibanda vitatu; kimoja chako wewe, na kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya; hali hajui asemalo.


Nami nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,