Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 9:4 - Swahili Revised Union Version

Wakatokewa na Eliya pamoja na Musa, nao walikuwa wakizungumza na Yesu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Elia na Mose wakawatokea, wakazungumza na Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Elia na Mose wakawatokea, wakazungumza na Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Elia na Mose wakawatokea, wakazungumza na Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Musa na Ilya wakawatokea, wakawa wanazungumza na Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Musa na Ilya wakawatokea, wakawa wanazungumza na Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakatokewa na Eliya pamoja na Musa, nao walikuwa wakizungumza na Yesu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 9:4
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana manabii wote na Torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana.


mavazi yake yakimetameta, meupe mno, jinsi asivyoweza dobi duniani kuyafanya meupe.


Petro akajibu, akamwambia Yesu, Rabi, ni vizuri sisi kuwapo hapa; na tufanye vibanda vitatu, kimoja chako wewe, kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya.


Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe.


Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa ningali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika vitabu vya Manabii na Zaburi.


Wakamjibu wakisema, Yohana Mbatizaji; lakini wengine, Eliya; na wengine kwamba mmojawapo wa manabii wa kale amefufuka.


Mnayachunguza maandiko kwa sababu mnadhani kuwa ndani yake ninyi mna uzima wa milele; na maandiko yayo hayo ndiyo yanayonishuhudia.


Nami nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.