Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 8:36 - Swahili Revised Union Version

Kwa kuwa itamfaidi mtu nini kuupata ulimwengu wote, akiipoteza nafsi yake?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, kuna faida gani mtu kuupata ulimwengu wote na kuyapoteza maisha yake?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, kuna faida gani mtu kuupata ulimwengu wote na kuyapoteza maisha yake?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, kuna faida gani mtu kuupata ulimwengu wote na kuyapoteza maisha yake?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, itamfaidi nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akayapoteza maisha yake?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, itamfaidi nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akayapoteza maisha yake?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa itamfaidi mtu nini kuupata ulimwengu wote, akiipoteza nafsi yake?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 8:36
17 Marejeleo ya Msalaba  

Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Ngozi kwa ngozi, naam, yote aliyo nayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.


Je! Yumkini mtu awaye yote kumfaa Mungu? Hakika yeye aliye na hekima hujifaa mwenyewe.


Maana atakapokufa hatachukua chochote; Utukufu wake hautashuka ukimfuata.


Mmesema, Kumtumikia Mungu hakuna faida; na, Tumepata faida gani kwa kuyashika maagizo yake, na kwa kwenda kwa huzuni mbele za BWANA wa majeshi?


Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kuipoteza nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?


Kwa kuwa mtu atakaye kuiponya nafsi yake, ataiangamiza, na mtu atakayeiangamiza nafsi yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Injili, huyu ataisalimisha.


Ama mtu atoe nini badala ya nafsi yake?


Kwa kuwa inamfaa nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akajiangamiza, au kujipoteza mwenyewe?


Ni faida gani basi mliyopata siku zile kwa mambo hayo mnayoyatahayarikia sasa? Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni mauti.