Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 7:8 - Swahili Revised Union Version

Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika desturi za watu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika desturi za watu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 7:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mjapo ili kuonekana mbele zangu, ni nani aliyetaka neno hili mikononi mwenu, kuzikanyaga nyua zangu?


Basi wale Mafarisayo na waandishi wakamwuliza, Mbona wanafunzi wako hawaendi kwa kuyafuata mapokeo ya wazee, bali hula chakula kwa mikono najisi?


Nami niliendelea katika dini ya Kiyahudi kuliko wengi walio hirimu zangu katika kabila yangu, nikajitahidi sana katika kuyashika mapokeo ya baba zangu.