Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 7:35 - Swahili Revised Union Version

Mara masikio yake yakafunguka, kifungo cha ulimi wake kikalegea, akasema vizuri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake ukafunguliwa, akaanza kusema sawasawa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake ukafunguliwa, akaanza kusema sawasawa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake ukafunguliwa, akaanza kusema sawasawa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake ukaachiliwa, akaanza kuongea sawasawa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake ukaachiliwa, akaanza kuongea sawasawa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mara masikio yake yakafunguka, kifungo cha ulimi wake kikalegea, akasema vizuri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 7:35
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana Yeye alisema, na ikawa; Na Yeye aliamuru, ikaumbika.


vipofu wanapata kuona, viwete wanakwenda, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa Habari Njema.


Mara akaondoka, akajitwika godoro lake, akatoka mbele yao wote; hata wakastaajabu wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Hatujawahi kuona jambo kama hili kamwe.


akatazama juu mbinguni, akapiga kite, akamwambia, Efatha, maana yake, Funguka.


Akawaonya wasimwambie mtu; lakini kadiri ya alivyozidi kuwaagiza, ndivyo walivyozidi kutangaza habari;