Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 6:49 - Swahili Revised Union Version

Nao walipomwona anatembea juu ya bahari, walidhani ya kuwa ni mzuka, wakapiga yowe,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini walipomwona akitembea juu ya maji, walidhani ni mzimu, wakapiga yowe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini walipomwona akitembea juu ya maji, walidhani ni mzimu, wakapiga yowe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini walipomwona akitembea juu ya maji, walidhani ni mzimu, wakapiga yowe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

lakini walipomwona akitembea juu ya maji, wakadhani ni mzimu. Wakapiga yowe,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

lakini walipomwona akitembea juu ya maji, wakadhani ni mzimu. Wakapiga yowe,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao walipomwona anatembea juu ya bahari, walidhani ya kuwa ni mzuka, wakapiga yowe,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 6:49
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ambaye peke yake ni mwenye kuzitandika mbingu, Na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.


Akawaona wakitaabika kwa kuvuta makasia, kwa maana upepo ulikuwa unwakabili; hata ilipopata kama zamu ya nne ya usiku akawaendea, akitembea juu ya bahari; akataka kuwapita.


kwa kuwa wote walimwona, wakafadhaika. Mara akasema nao, akawaambia, Changamkeni; ni mimi, msiogope.


Wakashituka, wakaogopa sana, wakidhani ya kwamba wanaona roho.