Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 6:27 - Swahili Revised Union Version

Mara mfalme akatuma askari, akaamuru kuleta kichwa chake. Basi akaenda, akamkata kichwa mle gerezani,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, mfalme akamwamuru askari kukileta kichwa cha Yohane. Askari akaenda, akamkata kichwa Yohane mle gerezani,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, mfalme akamwamuru askari kukileta kichwa cha Yohane. Askari akaenda, akamkata kichwa Yohane mle gerezani,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, mfalme akamwamuru askari kukileta kichwa cha Yohane. Askari akaenda, akamkata kichwa Yohane mle gerezani,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mara mfalme akatuma askari mmoja wa walinzi wake kukileta kichwa cha Yahya. Akaenda na kumkata Yahya kichwa humo gerezani,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mara mfalme akatuma askari mmojawapo wa walinzi wake kukileta kichwa cha Yahya. Akaenda na kumkata Yahya kichwa humo gerezani,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mara mfalme akatuma askari, akaamuru kuleta kichwa chake. Basi akaenda, akamkata kichwa mle gerezani,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 6:27
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akahuzunika sana, lakini kwa ajili ya viapo vyake, na kwa ajili ya hao walioketi karamuni, hakutaka kumkatalia.


akakileta kichwa chake katika kombe, akampa yule kijana, naye yule kijana akampa mamaye.