Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 5:6 - Swahili Revised Union Version

Na alipomwona Yesu kwa mbali, alipiga mbio, akamsujudia;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akamwinamia

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akamwinamia

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akamwinamia

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipomwona Isa kwa mbali, alimkimbilia, akapiga magoti mbele yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipomwona Isa kwa mbali, alimkimbilia, akapiga magoti mbele yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na alipomwona Yesu kwa mbali, alipiga mbio, akamsujudia;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 5:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mwambieni Mungu, Matendo yako yatisha kama nini! Kwa ajili ya wingi wa nguvu zako, Adui zako watakuja kunyenyekea mbele zako.


Wakaao jangwani na wainame mbele zake; Adui zake na warambe mavumbi.


Na sikuzote, usiku na mchana, alikuwako makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.


akapiga kelele kwa sauti kuu, akasema, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakuapisha kwa Mungu usinitese.


Pepo nao waliwatoka watu wengi, wakipiga kelele na kusema, Wewe u Mwana wa Mungu. Akawakemea, asiwaache kunena, kwa sababu walimjua kuwa ndiye Kristo.


Akamfuata Paulo na sisi akipiga kelele, akisema, Watu hawa ni watumishi wa Mungu aliye juu, wenye kuwahubiria njia ya wokovu.


Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema. Mashetani nao waamini na kutetemeka.