Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 5:5 - Swahili Revised Union Version

Na sikuzote, usiku na mchana, alikuwako makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaza sauti na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaza sauti na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaza sauti na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usiku na mchana alikuwa makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usiku na mchana alikuwa makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na siku zote, usiku na mchana, alikuwako makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 5:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakapiga kelele, wakajikatakata kwa visu na vyembe kama ilivyo desturi yao, hata damu ikawachuruzika.


kwa sababu alikuwa amefungwa mara nyingi kwa pingu na minyororo, akaikata ile minyororo, na kuzivunjavunja zile pingu; wala hakuna mtu aliyekuwa na nguvu za kumshinda.


Na alipomwona Yesu kwa mbali, alipiga mbio, akamsujudia;


Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa uongo.