Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 5:29 - Swahili Revised Union Version

Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, naye akafahamu mwilini mwake kwamba amepona msiba ule.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa ugonjwa wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa ugonjwa wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa ugonjwa wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mara kutoka damu kwake kukakoma, naye akajisikia mwilini mwake amepona kabisa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mara kutoka damu kwake kukakoma, naye akajisikia mwilini mwake amepona kabisa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, naye akafahamu mwilini mwake kwamba amepona msiba ule.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 5:29
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa kuna njaa katika nchi, au tauni, au ukosefu wa mvua, au ukungu, au nzige, au panzi; ikiwa adui wamewazingira katika mji wao wowote ule; au ukiwapo msiba wowote, au ugonjwa wowote;


Akusamehe maovu yako yote, Akuponya magonjwa yako yote,


Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.


Huwaponya waliopondeka moyo, Na kuyaganga majeraha yao.


Ee BWANA, Mungu wangu, Nilikulilia ukaniponya.


akawaambia, Kwamba utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, mimi sitatia juu yako maradhi yoyote niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye.


Kisha kuhani akiingia ndani kukagua na kuona kuwa pigo halikuenea katika hiyo nyumba baada ya nyumba kupakwa chokaa; ndipo kuhani atatangaza kuwa nyumba hiyo ni safi, maana pigo limepoa.


Tena mwanamume akilala na mwanamke aliye na ugonjwa wake, na kufunua utupu wake; amefunua jito la damu yake, naye mwanamke amefunua jito la damu yake; wote wawili watatengwa mbali na watu wao.


Na tazama, mwanamke aliyekuwa na ugonjwa wa kutoka damu muda wa miaka kumi na miwili, alikuja kwa nyuma, akaugusa upindo wa vazi lake.


Maana aliponya wengi, hata wote waliokuwa na misiba wakamrukia wapate kumgusa.


maana alisema, Nikiyagusa mavazi yake tu, nitapona.


Akamwambia, Binti, imani yako imekuponya, nenda zako kwa amani, uwe mzima, usiwe na msiba wako tena.


Na saa ile ile aliwaponya wengi magonjwa yao, na misiba, na pepo wabaya; na vipofu wengi aliwakirimia kuona.