Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 5:12 - Swahili Revised Union Version

Pepo wote wakamsihi, wakisema, Tupeleke katika nguruwe, tupate kuwaingia wao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, hao pepo wakamsihi, “Utupeleke kwa hao nguruwe, tuwaingie.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, hao pepo wakamsihi, “Utupeleke kwa hao nguruwe, tuwaingie.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, hao pepo wakamsihi, “Utupeleke kwa hao nguruwe, tuwaingie.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale pepo wachafu wakamsihi Isa wakisema, “Tuamuru twende kwenye wale nguruwe. Turuhusu tuwaingie.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale pepo wachafu wakamsihi Isa wakisema, “Tuamuru twende kwenye wale nguruwe. Turuhusu tuwaingie.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Pepo wote wakamsihi, wakisema, Tupeleke katika nguruwe, tupate kuwaingia wao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 5:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.


Na habari zake zikaenea katika Shamu yote; wakamletea wote waliokuwa wagonjwa, walioshikwa na maradhi mbalimbali na mateso, wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.


Na hapo milimani palikuwa na kundi kubwa la nguruwe, wakila.


Akawapa ruhusa. Wale pepo wachafu wakatoka, wakaingia katika wale nguruwe; nalo kundi lote likateremka kwa kasi gengeni, wakaingia baharini, wapatao elfu mbili; wakafa baharini.


Shetani asije akapata kutushinda; kwa maana hatukosi kuzijua fikira zake.


Muwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka zunguka, akitafuta mtu ammeze.