Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 5:11 - Swahili Revised Union Version

11 Na hapo milimani palikuwa na kundi kubwa la nguruwe, wakila.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe malishoni kwenye mteremko wa mlima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe malishoni kwenye mteremko wa mlima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe malishoni kwenye mteremko wa mlima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe lililokuwa likilisha karibu kando ya kilima.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe lililokuwa likilisha karibu kando ya kilima.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Na hapo milimani palikuwa na kundi kubwa la nguruwe, wakila.

Tazama sura Nakili




Marko 5:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

waketio kati ya makaburi, na kulala katika mahali pao pa siri; walao nyama ya nguruwe, na mchuzi wa vitu vinichukizavyo u katika vyombo vyao;


Yeye achinjaye ng'ombe ni kama yeye amwuaye mtu; na yeye atoaye dhabihu ya mwana-kondoo ni kama yeye avunjaye shingo ya mbwa; na yeye atoaye matoleo ni kama yeye atoaye damu ya nguruwe; na yeye afukizaye uvumba ni kama yeye abarikiye sanamu; naam, wamezichagua njia zao wenyewe, na nafsi zao zafurahia machukizo yao.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.


Basi, kulikuwako mbali nao kundi la nguruwe wengi wakila.


Akamsihi sana asiwapeleke nje ya nchi ile.


Pepo wote wakamsihi, wakisema, Tupeleke katika nguruwe, tupate kuwaingia wao.


Basi, hapo palikuwa na kundi la nguruwe wengi wakilishwa mlimani; wakamsihi awape ruhusa kuwaingia wale. Akawapa ruhusa.


na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo