Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 5:10 - Swahili Revised Union Version

Akamsihi sana asiwapeleke nje ya nchi ile.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akamsihi Yesu asiwafukuze hao pepo katika nchi ile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akamsihi Yesu asiwafukuze hao pepo katika nchi ile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akamsihi Yesu asiwafukuze hao pepo katika nchi ile.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akamsihi Isa sana asiwapeleke nje ya nchi ile.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akamsihi Isa sana asiwapeleke nje ya nchi ile.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamsihi sana asiwapeleke nje ya nchi ile.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 5:10
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nao waandishi walioshuka kutoka Yerusalemu wakasema, Ana Beelzebuli, na, Kwa mkuu wa pepo huwatoa pepo.


Na hapo milimani palikuwa na kundi kubwa la nguruwe, wakila.


Akawapa ruhusa. Wale pepo wachafu wakatoka, wakaingia katika wale nguruwe; nalo kundi lote likateremka kwa kasi gengeni, wakaingia baharini, wapatao elfu mbili; wakafa baharini.


Akamwuliza, Jina lako nani? Akamjibu, Jina langu ni Legioni, kwa kuwa tu wengi.