Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 3:33 - Swahili Revised Union Version

Akawajibu, akisema, Mama yangu na ndugu zangu ni akina nani?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawaambia, “Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawaambia, “Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawaambia, “Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawauliza, “Mama yangu na ndugu zangu ni nani?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawauliza, “Mama yangu na ndugu zangu ni nani?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawajibu, akisema, Mama yangu na ndugu zangu ni akina nani?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 3:33
9 Marejeleo ya Msalaba  

Jamaa zake walipopata habari wakatoka kwenda kumkamata; maana walisema, Amerukwa na akili.


Na makutano walikuwa wameketi, wakimzunguka, wakamwambia, Tazama, mama yako na ndugu zako wako nje, wanakutafuta.


Akawatazama wale walioketi wakimzunguka pande zote, akasema, Tazama, mama yangu na ndugu zangu!


Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu, na ndugu yao Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simoni? Na dada zake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake.


Akawaambia, Kwa nini mnitafute? Hamkujua ya kuwa imenipasa kuwamo katika nyumba ya Baba yangu?


Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.


Hata imekuwa, sisi tangu sasa hatumjui mtu awaye yote kwa jinsi ya mwili. Ingawa sisi tumemtambua Kristo kwa jinsi ya mwili, lakini sasa hatumtambui hivi tena.


Aliyemtaja baba yake na mama yake, Mimi sikumwona; Wala nduguze hakuwakubali; Wala hakuwajua watoto wake mwenyewe; Maana wameliangalia neno lako, Wamelishika agano lako.