Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 3:33 - Swahili Revised Union Version

33 Akawajibu, akisema, Mama yangu na ndugu zangu ni akina nani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Yesu akawaambia, “Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Yesu akawaambia, “Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Yesu akawaambia, “Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Akawauliza, “Mama yangu na ndugu zangu ni nani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Akawauliza, “Mama yangu na ndugu zangu ni nani?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Akawajibu, akisema, Mama yangu na ndugu zangu ni akina nani?

Tazama sura Nakili




Marko 3:33
9 Marejeleo ya Msalaba  

Jamaa zake walipopata habari wakatoka kwenda kumkamata; maana walisema, Amerukwa na akili.


Na makutano walikuwa wameketi, wakimzunguka, wakamwambia, Tazama, mama yako na ndugu zako wako nje, wanakutafuta.


Akawatazama wale walioketi wakimzunguka pande zote, akasema, Tazama, mama yangu na ndugu zangu!


Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu, na ndugu yao Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simoni? Na dada zake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake.


Akawaambia, Kwa nini mnitafute? Hamkujua ya kuwa imenipasa kuwamo katika nyumba ya Baba yangu?


Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.


Hata imekuwa, sisi tangu sasa hatumjui mtu awaye yote kwa jinsi ya mwili. Ingawa sisi tumemtambua Kristo kwa jinsi ya mwili, lakini sasa hatumtambui hivi tena.


Aliyemtaja baba yake na mama yake, Mimi sikumwona; Wala nduguze hakuwakubali; Wala hakuwajua watoto wake mwenyewe; Maana wameliangalia neno lako, Wamelishika agano lako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo